TheHItDotCom

TheHItDotCom
we bring you news to your hand

Friday, March 11, 2016

Video 10 kali za muziki Afrika wiki hii kwenye Top10 ya Trace TV.. ziko 2 tu kutoka Tanzania

Hakuna asiependa kujua kwenye bara hili kubwa za Afrika ni nani anaetamba zaidi kupitia kituo cha TV cha TRACE Urban ambacho kimekua kikitajwa kwa ubora wa muziki unaopigwa na Watazamaji wake ambao wengi wanatazama kwa mfumo wa kulipia, kuridhika na burudani yenyewe.
10. The Money – Davido ft. Olamide



9. Navy Kenzo – Kamatia (Tanzania)


8. Stonebwoy – Sheekena ft. R2bees


7. Tiwa Savage ft. Olamide – Standing Ovation

6. OSINACHI (Remix) – Humblesmith ft. Davido


5. YCEE – OMO ALHAJI


4. AY feat. Diamond Platnumz – Zigo Remix (Tanzania)


3. Reekado Banks – Oluwa Ni

2. Wizkid – Final

  1. Korede Bello ft. Tiwa Savage – Romantic


Saturday, December 20, 2014

Nicki Minaj Scores Record-Breaking No. 1 on Hot R&B/Hip-Hop Songs

 "Only" flies 10-1 on Hot R&B/Hip-Hop Songs chart, giving the artist her fourth No. 1 -- the most among female rappers in the 56 years since the chart launched as a sales/airplay hybrid tally. Minaj surpasses Missy Elliott (with three leaders), and pulls ahead of Da Brat and Iggy Azalea (each with two). They are the only female rappers with multiple No. 1s.
Nicki Minaj, 2014

"Only" -- featuring Drake, Lil Wayne and Chris Brown -- zooms to No. 1 following the Dec. 12 release of its music video. It's up 82 percent in overall chart points, powered by the streaming of the song and its video (up 157 percent in streams according to Nielsen Music, earning the chart's Greatest Gainer/Streaming honor). Eighty percent of the tune's streaming clicks for the week came from Vevo on YouTube
The new No. 1 also gives Drake his 12th leader on Hot R&B/Hip-Hop Songs. Lil Wayne notches his ninth crowning song with the climb, while Chris Brown nets his fifth.
On R&B/Hip-Hop Airplay, “Only” takes the Greatest Gainer tag, hopping 7-5. A 27 percent rise in audience at the format bumps impressions to 24.2 million, according to Nielsen Music -- its best week since its Nov. 17 debut.
“Only” is one of three charting cuts on Hot R&B/Hip-Hop Songs from Minaj's The Pinkprint album. “Bed of Lies,” featuring Skylar Grey, dips 25-30 in its fourth chart week, while “Anaconda” steps 18-17 in its 19th week, following its previous six-week run at No. 1.
.

Bracket - Alive ft.. Tiwa Savage & Diamond Platnumz



Ni nyimbo ya vijana kutoka NIGERIA Bracket wakiwa wamemshirikisha mkali
wa bongo flavour TANZANIA Diamond platinum akiwemo na msanii mwingine
kutoka NIGERIA Tiwa savage,nyimbo imepewa jina alive,diamond kaonyesha
kuwa ye ni moto wa kuotea mbali kwani kwa alichokifanya humu ni kazi
nzuri sana tazama kipande hiki wala hutojuta

TAZAMA HII... bracket ft diamond platinum,tiwa savage-alive





Ni nyimbo ya vijana kutoka NIGERIA Bracket wakiwa wamemshirikisha mkali
wa bongo flavour TANZANIA Diamond platinum akiwemo na msanii mwingine
kutoka NIGERIA Tiwa savage,nyimbo imepewa jina alive,diamond kaonyesha
kuwa ye ni moto wa kuotea mbali kwani kwa alichokifanya humu ni kazi
nzuri sana tazama kipande hiki wala hutojuta

Nicki Minaj atoa fupi ya the pink print



nicki minaj atoa movie ya the pink print... bofya hapo uonee

JOKATE AINGIA MKATABA WA TZS BIL 8, NA WACHINA KUTENGENEZA NYWELE NA BIDHAA NYINGINE

MWANADADA ambaye ni mwanamitindo, mwanamuziki na mtangazaji, Jokate Mwegelo, jana amesaini makubaliano ya kushirikiana kibiashara  na Kampuni ya Rainbow Shell Craft ya China.Kampuni hizo mbili zitashirikiana katika kuzalisha  baadhi ya bidhaa kama nywele (wigi) sendozi .nakadhalika

Kidoti kushirikiana na kampuni ya china kutengeneza nywele na bidhaa nyingine

Wema Na Diamond Wafurahia Usiku Mmoja Jijini Kampala,Uganda

Usiku wa jana tarehe 18, jiji la Kampala nchini Uganda lilipambwa na “EVENTS” mbili mkubwa kwenye upande wa buruani ambazo ni Show kubwa ya mwnamziki Jose Chameleone iliyofahamika kama  1Man Show Million na Pati ya mwanamama Zari iliyofahamika kama Zari All White Ciroc Party.
Mwigizaji Wema Sepetu na mwanamziki Diamond Platnumuz wote walitua nchi humo na kugawana  matukio hayo kama ifuatavyo;
Wema Sepetu ambae anadai ni amekuwa shabiki mkubwa wa masanii Jose Chameleone inasemekana alitokea nchini Ghana na kutua jijini Kampala kuhudhuria show ya mwanana mziku huyo ambayo ilifanyika Serena Hotel.
Wakati Diamond Platnumz ambae kwasasa ana “Le Project” na mwanamama Zari alihudhulia pati ya Zari kama “Special Guest”.
Baadhi ya watu wamechukulia kitendo hiki ni kama mwanadada Wema “Amepaniki” hivi, Huku wengine wakisema kuwa Wema ana uhuru wakufanya kile anachokitaka bila ya kuhofia watu watasemaje.
Jambo hili halijatokea kwa bahati mbaya kwani wiki kadhaa zilizopita, Diamond alipoonyesha kum-support Zari kwenye pati yake,Wema nae alibuka na kum-support Jose. Kama unavyoona hapa chini.
Wema Na Diamond Wafurahia Usiku Mmoja Jijini Kampala,Uganda

Sony 'will not drop' North Korea film-The Interview

Sony Pictures says it is looking at different ways to release the film satire the Interview, after scrapping its opening following a cyber-attack blamed on North Korea.
It said it had only cancelled the film's Christmas Day release after cinemas pulled out.
The company said it was considering "alternatives to enable us to release the movie on a different platform".
US President Barack Obama said it "made a mistake" cancelling the release.
"We cannot have a society in which some dictator someplace can start imposing censorship," he said.
He also vowed to "respond" to the cyber-attack in a "manner that we choose".
The FBI has said that North Korea was responsible for the hack, but Pyongyang denies this. The Interview depicts the fictional assassination of North Korean leader Kim Jong-un.
'Not caved'
Responding to the US president's comments, Sony Pictures chief executive and chairman Michael Lynton said the studio had not made an error in cancelling the release.

wajue wasanii wanaotafutwa zaidi GoOglE

Tumezisikia rekodi nyingi za nje ya Afrika, sasa hivi moja ya jitihada ninazozifanya ni kukusanya zile rekodi za Afrika na kukuletea mtu wangu.
Davido ni mkoja ya mastaa ambao tukiuzungumzia muziki wa Afrika Magharibi, jina lake ni moja ya majina ambayo yameng’aa sana kwa mwaka 2014.
Mtandao wa Google umemtaja Davido kwamba ni staa namba moja kwa wanamuziki wa Nigeria aliyetafutwa zaidi mwaka 2014 kwenye mtandao.
davido
Kwenye list hiyo Phyno ameshika namba mbili na nafasi ya tatu kushikwa na the Marvin’s Queen, Tiwa Savage
Nimekuwekea List ya top ten hiyo hapa.
1. Davido
2. Phyno
3. Tiwa Savage
4. Don Jazzy
5. Timaya
6. Ice Prince
7. Olamide
8. Sean Tizzle
9. Lil’ Kesh
10. Burna Boy

MR.X MAS - IZZO BIZNESS FEAT MYRA (VIRAL VIDEO)





Rapper kutokea Mbeya City, Izzo Bizness baada ya kuachia single ya X Mas aliyomshirikisha Myra sasa time hii amekuja na video mpya ya single hiyo.

Alikiba - Mwana (Official Music Video)

Wednesday, December 17, 2014

view at the 2015 GOLDEN GLOBE NOMINATIONS:

AND THE NOMINEES ARE… The nominations for the 72nd Golden Globe Awards were announced bright and early this morning at the Beverly Hilton hotel. During the traditional pre-dawn ceremony in Beverly Hills, HFPA president Theo Kingma introduced Kate Beckinsale, two-time Golden Globe Award-nominee Peter Krause, Paula Patton, and Golden Globe-winner and five-time nominee Jeremy Piven did the honors. The 72nd Annual Golden Globe® Awards, hosted by Tina Fey and Amy Poehler, will air on Sunday, January 11, 2015, LIVE coast-to-coast on NBC from 5:00-8:00 p.m. (PST)/8:00-11:00 p.m. (EST).
 
tohttp://new.livestream.com/hfpa/events/3634408/videos/70938380 view video
 
Best Motion Picture, Drama
 
Best Actress in a Motion Picture, Drama
(Still Alice)
(Gone Girl)
(The Theory of Everything)
 
Best Actor in a Motion Picture, Drama
(The Theory of Everything)
(Foxcatcher)
(The Imitation Game)
(Selma)
(Nightcrawler)
 
 Best Motion Picture, Musical or Comedy
 
Best Actress In A Motion Picture, Musical or Comedy
(Maps To The Stars)
(Big Eyes)
(Into The Woods)
(The Hundred Foot Journey)
 
Best Actor in a Motion Picture, Musical or Comedy
(Birdman)
(St. Vincent)
(The Grand Budapest Hotel)
(Big Eyes)
(Inherent Vice)
 
Best Supporting Actress in a Motion Picture
(A Most Violent Year)
(The Imitation Game)
(Boyhood)
(Into The Woods)
(Birdman)
 
Best Supporting Actor in a Motion Picture
(Boyhood)
(The Judge)
(Birdman)
(Whiplash)
(Foxcatcher)
 
Best Director - Motion Picture
(Selma)
(The Grand Budapest Hotel)
(Gone Girl)
(Boyhood)
 
Best Screenplay - Motion Picture
(The Grand Budapest Hotel)
(Gone Girl)
Alejandro González Iñárritu, Nicolás Giacobone, Alexander Dinelaris, Armando Bo
(Birdman)
(Boyhood)
(The Imitation Game)
 
Best Original Score - Motion Picture
(The Imitation Game)
(The Theory Of Everything)
Trent Reznor, Atticus Ross
(Gone Girl)
(Birdman)
(Interstellar)
 
Best Original Song - Motion Picture
 
Best Actress in a TV Series, Drama
(How to Get Away With Murder)
(Homeland)
(The Good Wife)
(House of Cards)
(The Affair)
 
Best Actor in a TV Series, Drama
(House of Cards)
(The Knick)
(The Blacklist)
(The Affair)
(Ray Donovan)
 
Best Actress in a TV Series, Musical or Comedy
(Nurse Jackie)
(Jane The Virgin)
(Girls)
(Orange is the New Black)
 
Best Actor in a TV Series, Musical or Comedy
(House of Lies)
(Shameless)
(Derek)
(Transparent)
(Louie)
 
Best Actress in a Mini-Series or TV Movie
(American Horror Story: Freak Show)
(The Honorable Woman)
(Olive Kitteridge)
(Fargo)
(The Missing)
 
Best Actor in a Mini-Series or TV Movie
(Fargo)
(True Detective)
(True Detective)
(The Normal Heart)
 
Best Supporting Actress in a Series, Mini-Series or TV Movie
(American Horror Story: Freak Show)
(Orange is the New Black)
(Downton Abbey)
(True Detective)
Best Supporting Actor in a Series, Mini-Series or TV Movie
(Olive Kitteridge)
(Ray Donovan)
(The Normal Heart)
(The Good Wife)
(Fargo)

Here's your chance to step up on the big stage in Sydney with stepup all In

Wanna get your big break on stage? Now you can thanks to Luna Park Sydney, THE SQUARED DIVISION and the DVD release of Step Up 5 All In. Head to http://bit.ly/1ueEVxz t to find out how #ImAllInAu

The Voice 2014 - Mark Ronson and Bruno Mars: "Uptown Funk"

Professor Jay anayofuraha ya kukualika kuisikiliza hii single yake mpya aliyomshirikisha Jose Chameleone

rapper mkongwe Joseph Haule aka Professor Jay baada ya kufanya vizuri kwenye single yake Kipi sijasikia aliyomshirikisha Diamond Platnumz time hii amekuletea hii single mpya Kwaa jili yako aliyomshirikisha msanii wa Uganda Jose Chameleone ambayo unaweza kuidownload na kusikiliza kwa kubonyeza hapa >>> HAPA.

Picha za Diamond Platnumz alivyopokelewa na Zari nchini Uganda leo.




aseeb Abdul aka Diamond Platnumz ameshawasili 256 Uganda kumpa support  Zari Hassan a.k.a Zari The Bosslady kwenye  event yake ‘All White CIROC Party’ itakayofanyika Des 18 Kampala...
..

rihanna 2014 imeisha hajatoa albam, 2015 huenda asitoe pia? Ana dili hili jipya…

50 Cent aliwahi kupotea kabisa baada ya kujikuta akitumia muda mwingi kumalizana na madili yake ya kucheza movie, huenda ilimfanya aingize pesa nyingi zaidi kuliko kufanya muziki, kwenye list ya wasanii ambao wamezamia kwenye movie watu wengine ni kama Ludacris na Tyrese.
2014 ya Rihanna bila album, huenda kwenye masuala ya fashion kunamfanya aishi poa !
Rihanna yuko busy muda wote, kwa sasa yuko Ujerumani, kukamilisha dili lake jipya kama Balozi mpya wa Kimataifa kwa kutangaza bidhaa za michezo za kampuni ya Puma.
Kifupi ni kwamba kaianza kazi, ukurasa wake wa Instagram ambao huwa anautumia kutangaza biashara anazojihusisha nazo safari hii umeanza kutawaliwa na picha zinazoonyesha akiwa amevaa viatu vya Puma, hakika kazi imeanza.
riri

Diamond afunguka kuhusu Wema, Zari, Penny, Yemi Alade, Chameleone na men...

Mashabiki walichomfanyia Ali Kiba Kigoma, nyumba ya Mzee Majuto baada ya...

Monday, December 8, 2014

Wajue waliotajwa zaidi kuwania tuzo za Grammy 2015

Wiki hii imetajwa ile list ya mastaa ambao wanawaniwa tuzo za Grammy zitakazofanyika February 2015, kitu kizuri kwenye list hii ni kwamba kuna mastaa  ambao wametajwa kuwania vipengele vingi zaidi kuliko mastaa wengine wote.
Mwandishi na mwimbaji Sam Smith, mama wa Blue Ivy na mke wa Rapper Jay Z, Beyonce na mkongwe asiyezeeka ambaye ni mtayarishaji wa muziki na mwimbaji pia Pharrell Williams wametajwa kuwa ni wasanii ambao wametajwa kuwania tuzo nyingi zaidi kwenye Tuzo za  Grammy zitakazofanyika February mwaka 2015.








sam-smith-beyonce-pharrell 

Mastaa hao wametajwa kuwania kwenye vipengele sita kila mmoja huku masikio na macho ya wengi yakiangalia nani kati yao ataweza kuivunja ile rekodi ya kubeba tuzo zote sita?

yaliyomkuta davido na post yake ya twitter




Usiku wa December 07 Tanzania imechukua tena headline kwenye vyombo mbalimbali vya habari na hii ni baada ya Mtazania Idris kufanikiwa kushinda kwenye shindano la Big Brother Hot Shot 2014.
Usiku huo huo baada ya ushindi wa Idris,Diamond alipost tuzo aliyoshinda Nigeria baada ya matukio hayo kufanyika,Hit Maker wa single kadhaa ikiwemo Skelewu Davido alipost kitu ambacho kimezua tafsiri tofauti tofauti.




Post ya Davido ilisomeka >>’N they Cheat again lol’ baada ya muda mfupi post hiyo aliifuta ambayo bado Watanzania wamekua na maswali tofauti kuhusu hicho alichokiandika.