TheHItDotCom

TheHItDotCom
we bring you news to your hand

Monday, June 10, 2013

TAARIFA KWA UMMA MAOMBI YA MIKOPO 2013/2014




1.0            UTANGULIZI

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inawafahamisha waombaji wa mikopo kwa mara ya kwanza, Wanafunzi wanaondelea na masomo na Umma kwa ujumla kwamba mchakato wa maombi mikopo kwa mwaka wa masomo 2013/2014 ulizinduliwa rasmi tarehe 1 Mei, 2013.  Mchakato huo unaendelea vizuri na kwamba wanafunzi wengi wameweza kujaza fomu za maombi ya mikopo kwa njia ya mtandao (OLAS).

2.0   WAOMBAJI WA MIKOPO WA MARA YA KWANZA

Utaratibu wa kujaza fomu za maombi kwa waombaji wa mara ya kwanza, unawaelekeza waombaji hao kutoa taarifa zao za kihistoria kama vile shule za sekondari walizosoma (Kidato cha IV na Kidato cha VI), hali ya mwombaji au wazazi wake kiafya na pia taarifa za mdhamini wa mwombaji mkopo. Taarifa hizo zinaiwezesha Bodi kuchambua na kujua iwapo mwombaji husika ana sifa ya kukopesheka au la. Ikumbukwe kwamba lengo la utoaji wa mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu ni kuwawezesha wanafunzi wasio na uwezo wa kulipia gharama za elimu ya juu kusaidiwa kufikia malengo yao. Kwa njia ya uchambuzi huo Bodi inaweza kubaini kiasi cha mkopo unaohitajika au kiasi ambacho mwanafunzi anapaswa kuchangia katika gharama zake za elimu ya juu.
Kwa vile taarifa za ufaulu katika mitihani ya kidato cha sita hazihitajiki katika hatua hii ya Mwanzo, mwombaji wa mkopo haulizwi mahali popote katika fomu yake ya maombi kuhusu kiwango cha ufaulu. Hapo baadaye Bodi itakapohitaji kuthibitisha kiwango cha ufaulu wa mwombaji itapata taarifa hizo za ufaulu moja kwa moja kutoka Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA).  Kutokana na utaratibu huu, mwanafunzi aliyehitimu kidato cha sita mwaka 2013 anaweza kuomba mkopo hata kabla ya matokeo ya Kidato cha Sita kitaifa kutolewa.  Hii ni muhimu ili kuipa Bodi muda wa kutosha kupokea maombi ya mikopo, kuchambua na kisha kupanga mikopo kwa wanafunzi stahiki watakaokuwa wamedahiliwa kwa mwaka mpya wa masomo 2013/2014.

3.0       IDADI YA WANAFUNZI WALIOKWISHAOMBA MIKOPO KUFIKIA MEI 30, 2013

Hadi kufikia tarehe 30 Mei, 2013, waombaji mikopo wa mara ya kwanza waliokwishakamilisha maombi yao ni   424, Waombaji wa mara ya kwanza ambao wako kwenye hatua mbalimbali za ukamilishaji ni 5,320 na wanafunzi wanaoedelea na masomo waliokwishathibitisha kuendelea kupatiwa mikopo kwa mwaka ujao wa masomo ni 60,367, kama inavyoonekana kwenye jedwali hapa chini.
Na.
Waombaji wa mara ya kwanza waliokamilisha kujaza fomu
Waombaji wa mara ya kwanza ambao wako kwenye hatua mbalimbali za ukamilishaji
Wanafunzi wanaoendelea na masomo waliojaza fomu na kukamilisha

424
5320
60367

4.0            HITIMISHO

Bodi inatoa msisitizo kwa waombaji wa mikopo kama ifuatavyo:
(i)                Kuzingatia taratibu zote muhimu zilizowekwa kwa ajili ya maombi ya mikopo.
(ii)              Kutumia huduma ya msaada kwa wateja (Help Desk) kikamilifu kila wanapopata tatizo lolote katika mchakato wa ujazaji wa fomu za maombi.  Huduma hiyo inapatika kwa kupiga namba 022 550 7910; kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 2 usiku siku za jumatatu hadi ijumaa na kuanzia saa 2 asubuhi hadi saa 10 alasiri siku ya jumamosi.
(iii)            Kuzingatia muda uliopangwa wa maombi ya mikopo ambapo siku ya mwisho ni tarehe 30 Juni, 2013.

IMETOLEWA NA:
BODI YA WAKURUGENZI
BODI YA MIKOPO YA ANAFUNZI WA ELIMU YA JUU
 

Tuesday, June 4, 2013

vijue vyuo ambavyo ungependa kuja kusoma ewe kidato cha sita....

CHUO KIKUU DSM SASA CHASHIKA NAFASI YA 6 KWA UBORA HAPA AFRICA......

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) sasa kinakamata nafasi ya sita katika Vyuo Vikuu 100 bora vya Afrika. Orodha kamili iko hapa Chini:2012 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa
Source:http://www.4icu.org/topAfrica/

Top 100 Universities and Colleges in Africa by the 4icu.org University Web Ranking
1 University of Cape Town 
South Africa
2 University of South Africa 
South Africa
3 University of Pretoria 
South Africa
4 Universiteit Stellenbosch 
South Africa
5 University of the Witwatersrand 
South Africa
6 University of Dar es Salaam 
Tanzania
 
 
 
 
7 Cairo University 
Egypt
8 University of KwaZulu-Natal 
South Africa
9 The American University in Cairo 
Egypt
10 Makerere University 
Uganda
11 Rhodes University 
South Africa
12 University of the Western Cape 
South Africa
13 Mansoura University 
Egypt
14 University of Johannesburg 
South Africa
15 Université Cheikh Anta Diop 
Senegal
16 Assiut University 
Egypt
17 University of Nairobi 
Kenya
18 Zagazig University 
Egypt
19 University of Botswana 
Botswana
20 Université Mohammed V - Agdal 
Morocco

21 University of Ghana 
Ghana
22 Universiteit van die Vrystaat 
South Africa
23 University of Ibadan 
Nigeria
24 Addis Ababa University 
Ethiopia
25 North-West University 
South Africa

BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU (HESLB) YASISITIZA:ZINGATIENI MUDA WA KUOMBA MIKOPO

Mkurugenzi wa Mawasiliamo wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), Cosmas Mwaisobwa
 
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetoa msisitizo kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha sita mwaka huu na kujiunga va vyuo vya elimu ya juu kuanza mara moja na kuzingatia ratiba kuomba mikopo hiyo.
Mkurugenzi wa Mawasiliamo wa Bodi hiyo, Cosmas Mwaisobwa aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki kuwa, wanafunzi hao wanatakiwa kuanza kujaza fomu za maombi na kusisitiza kuwa siku ya mwisho ya kupokea maombi hayo ni Juni 30 mwaka huu.
“Bodi inasisitiza kuanza mchakato wa kuomba mikopo kwa waliomaliza kidato cha sita na kuzingatia muda uliotolewa kujaza fomu za maombi na kuziwasilisha kwenye ofisi za bodi,” alisema.
Akizungumzia kuhusu wanafunzi wanaoendelea na masomo, Mwaisobwa alisema tayari waombaji 62,758 wamekamilisha taratibu za maombi ya mikopo na kujaza fomu stahiki tangu utaratibu huo ulipozinduliwa rasmi Mei Mosi mwaka huu.
“Hadi sasa mchakato kwa waombaji wa mikopo kwa wa mara ya kwanza na wanafunzi wanaoendelea na masomo unaendelea vizuri ambapo wengi wameweza kujaza fomu za maombi ya mikopo kwa njia ya mtandao,” alisema.
Aidha, Bodi ya mikopo imewataka waombaji kuzingatia maelezo yaliyotolewa wakati wa ujazaji wa fomu hizo na kuhakikisha wanakamilisha mchakato huo haraka ili kutoa nafasi kwa bodi kuchambua maombi hayo na kupanga madaraja ya mikopo kwa waombaji.
Katika mwaka wa masomo wa 2012/13, Bodi hiyo iliwapatia mikopo waombaji 94,703, ambao wako katika vyuo na taasisi mbalimbali za elimu ya juu hapa nchini.

Saturday, June 1, 2013

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA KILAKALA SECONDARY

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

ACSEE 2013 EXAMINATION RESULTS

S0206 KILAKALA SECONDARY SCHOOL

DIV-I = 2 DIV-II = 38 DIV-III = 56 DIV-IV = 0 FLD = 2

CNO
SEX
AGGT
DIV
DETAILED SUBJECTS
S0206/0501
F
12
II
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-C BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0502
F
20
FLD
G/STUDIES-F PHYSICS-F CHEMISTRY-S ADV/MATHS-F
S0206/0503
F
12
II
G/STUDIES-S HISTORY-D GEOGR-D ENGLISH-D
S0206/0504
F
10
III
G/STUDIES-F PHYSICS-D CHEMISTRY-C ADV/MATHS-C
S0206/0505
F
12
II
G/STUDIES-S PHYSICS-D CHEMISTRY-C ADV/MATHS-E
S0206/0506
F
11
II
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-B BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0507
F
11
II
G/STUDIES-S PHYSICS-D CHEMISTRY-C BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0508
F
12
II
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-D ADV/MATHS-C
S0206/0509
F
12
II
G/STUDIES-S HISTORY-D GEOGR-D ENGLISH-D
S0206/0510
F
13
III
G/STUDIES-F PHYSICS-E CHEMISTRY-D ADV/MATHS-D
S0206/0511
F
13
III
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-D BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0512
F
14
III
G/STUDIES-F GEOGR-D CHEMISTRY-E BIOLOGY-E BAM-S
S0206/0513
F
13
III
G/STUDIES-F HISTORY-D GEOGR-D ENGLISH-E
S0206/0514
F
11
II
G/STUDIES-S HISTORY-C GEOGR-D ENGLISH-D
S0206/0515
F
10
II
G/STUDIES-S PHYSICS-D CHEMISTRY-B ADV/MATHS-D
S0206/0516
F
12
II
G/STUDIES-S GEOGR-D CHEMISTRY-D BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0517
F
15
III
G/STUDIES-F HISTORY-E GEOGR-E ENGLISH-E
S0206/0518
F
12
II
G/STUDIES-S PHYSICS-S CHEMISTRY-C BIOLOGY-C BAM-S
S0206/0519
F
13
III
G/STUDIES-S HISTORY-D GEOGR-D ENGLISH-E
S0206/0520
F
15
III
G/STUDIES-S PHYSICS-S CHEMISTRY-D ADV/MATHS-E
S0206/0521
F
14
III
G/STUDIES-F GEOGR-E CHEMISTRY-D BIOLOGY-E BAM-S
S0206/0522
F
12
II
G/STUDIES-S HISTORY-D GEOGR-D ENGLISH-D
S0206/0523
F
14
III
G/STUDIES-S PHYSICS-S CHEMISTRY-D BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0524
F
12
II
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-C BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0525
F
14
III
G/STUDIES-F PHYSICS-E CHEMISTRY-D ADV/MATHS-E
S0206/0526
F
16
III
G/STUDIES-F PHYSICS-S CHEMISTRY-E ADV/MATHS-E
S0206/0527
F
12
III
G/STUDIES-F PHYSICS-E CHEMISTRY-C BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0528
F
15
III
G/STUDIES-F GEOGR-E CHEMISTRY-E BIOLOGY-E BAM-S
S0206/0529
F
10
II
G/STUDIES-S HISTORY-C GEOGR-C ENGLISH-D
S0206/0530
F
16
III
G/STUDIES-S GEOGR-E CHEMISTRY-E BIOLOGY-S BAM-F
S0206/0531
F
17
III
G/STUDIES-F PHYSICS-F CHEMISTRY-D ADV/MATHS-S
S0206/0532
F
11
II
G/STUDIES-S GEOGR-D CHEMISTRY-D BIOLOGY-C BAM-S
S0206/0533
F
13
III
G/STUDIES-S GEOGR-D CHEMISTRY-E BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0534
F
13
III
G/STUDIES-S GEOGR-D CHEMISTRY-D BIOLOGY-E BAM-S
S0206/0535
F
12
II
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-D ADV/MATHS-C
S0206/0536
F
9
III
G/STUDIES-F PHYSICS-D CHEMISTRY-A BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0537
F
14
III
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-D ADV/MATHS-E
S0206/0538
F
11
II
G/STUDIES-S HISTORY-C GEOGR-D ENGLISH-D
S0206/0539
F
14
III
G/STUDIES-F PHYSICS-S CHEMISTRY-D BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0540
F
15
III
G/STUDIES-F PHYSICS-S CHEMISTRY-D ADV/MATHS-E
S0206/0541
F
14
III
G/STUDIES-S GEOGR-D CHEMISTRY-E BIOLOGY-E BAM-S
S0206/0542
F
15
III
G/STUDIES-S PHYSICS-S CHEMISTRY-E BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0543
F
12
II
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-C BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0544
F
11
II
G/STUDIES-S HISTORY-C GEOGR-D ENGLISH-D
S0206/0545
F
14
III
G/STUDIES-S GEOGR-D CHEMISTRY-E BIOLOGY-E BAM-S
S0206/0546
F
13
III
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-C ADV/MATHS-E
S0206/0547
F
15
III
G/STUDIES-S PHYSICS-F CHEMISTRY-D BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0548
F
12
II
G/STUDIES-S GEOGR-D CHEMISTRY-D BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0549
F
16
III
G/STUDIES-F PHYSICS-S CHEMISTRY-E ADV/MATHS-E
S0206/0550
F
12
II
G/STUDIES-S HISTORY-D GEOGR-D ENGLISH-D
S0206/0551
F
14
III
G/STUDIES-F HISTORY-D GEOGR-E ENGLISH-E
S0206/0552
F
16
III
G/STUDIES-F PHYSICS-S CHEMISTRY-E BIOLOGY-E BAM-S
S0206/0553
F
14
III
G/STUDIES-F PHYSICS-E CHEMISTRY-D ADV/MATHS-E
S0206/0554
F
11
III
G/STUDIES-F PHYSICS-D CHEMISTRY-C ADV/MATHS-D
S0206/0555
F
15
III
G/STUDIES-S PHYSICS-F CHEMISTRY-D BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0556
F
10
II
G/STUDIES-S PHYSICS-D CHEMISTRY-B ADV/MATHS-D
S0206/0557
F
9
I
G/STUDIES-S PHYSICS-D CHEMISTRY-B BIOLOGY-C BAM-S
S0206/0558
F
14
III
G/STUDIES-F HISTORY-D GEOGR-E ENGLISH-E
S0206/0559
F
15
III
G/STUDIES-F PHYSICS-S CHEMISTRY-E BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0560
F
13
III
G/STUDIES-S HISTORY-D GEOGR-D ENGLISH-E
S0206/0561
F
20
FLD
G/STUDIES-F PHYSICS-F CHEMISTRY-S BIOLOGY-F BAM-S
S0206/0562
F
14
III
G/STUDIES-F PHYSICS-S CHEMISTRY-D BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0563
F
14
III
G/STUDIES-S PHYSICS-S CHEMISTRY-D BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0564
F
15
III
G/STUDIES-S GEOGR-D CHEMISTRY-S BIOLOGY-E BAM-S
S0206/0565
F
11
II
G/STUDIES-S HISTORY-C GEOGR-D ENGLISH-D
S0206/0566
F
13
III
G/STUDIES-S GEOGR-D CHEMISTRY-D BIOLOGY-E BAM-S
S0206/0567
F
12
III
G/STUDIES-F PHYSICS-E CHEMISTRY-C ADV/MATHS-D
S0206/0568
F
10
II
G/STUDIES-S PHYSICS-D CHEMISTRY-C ADV/MATHS-C
S0206/0569
F
15
III
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-D ADV/MATHS-S
S0206/0570
F
13
III
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-D BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0571
F
11
II
G/STUDIES-S GEOGR-D CHEMISTRY-C BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0572
F
11
II
G/STUDIES-S GEOGR-D CHEMISTRY-C BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0573
F
11
II
G/STUDIES-S HISTORY-D GEOGR-D ENGLISH-C
S0206/0574
F
12
II
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-C BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0575
F
13
III
G/STUDIES-F PHYSICS-E CHEMISTRY-D BIOLOGY-D BAM-S
S0206/0576
F
14
III
G/STUDIES-S GEOGR-D CHEMISTRY-E BIOLOGY-E BAM-S
S0206/0577
F
11
II
G/STUDIES-S HISTORY-C GEOGR-D ENGLISH-D
S0206/0578
F
14
III
G/STUDIES-F PHYSICS-E CHEMISTRY-D ADV/MATHS-E
S0206/0579
F
14
III
G/STUDIES-F HISTORY-D GEOGR-E ENGLISH-E
S0206/0580
F
11
II
G/STUDIES-S HISTORY-C GEOGR-D ENGLISH-D
S0206/0581
F
17
III
G/STUDIES-F PHYSICS-F CHEMISTRY-E BIOLOGY-E BAM-S
S0206/0582
F
13
III
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-C ADV/MATHS-E
S0206/0583
F
14
III
G/STUDIES-S GEOGR-E CHEMISTRY-D BIOLOGY-E BAM-S
S0206/0584
F
9
I
G/STUDIES-S PHYSICS-D CHEMISTRY-B ADV/MATHS-C
S0206/0585
F
17
III
G/STUDIES-S PHYSICS-S CHEMISTRY-E ADV/MATHS-S
S0206/0586
F
12
II
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-D BIOLOGY-C BAM-S
S0206/0587
F
12
II
G/STUDIES-S HISTORY-D GEOGR-D ENGLISH-D
S0206/0588
F
17
III
G/STUDIES-F PHYSICS-F CHEMISTRY-E BIOLOGY-E BAM-S
S0206/0589
F
11
II
G/STUDIES-S HISTORY-C GEOGR-D ENGLISH-D
S0206/0590
F
15
III
G/STUDIES-S PHYSICS-S CHEMISTRY-D BIOLOGY-E BAM-S
S0206/0591
F
12
III
G/STUDIES-F HISTORY-D GEOGR-D ENGLISH-D
S0206/0592
F
12
II
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-C ADV/MATHS-D
S0206/0593
F
11
II
G/STUDIES-S PHYSICS-E CHEMISTRY-C BIOLOGY-C BAM-S
S0206/0594
F
13
III
G/STUDIES-F HISTORY-D GEOGR-D ENGLISH-E
S0206/0595
F
11
II
G/STUDIES-S GEOGR-D CHEMISTRY-D BIOLOGY-C BAM-F
S0206/0596
F
10
II
G/STUDIES-S HISTORY-C GEOGR-D ENGLISH-C
S0206/0597
F
12
II
G/STUDIES-S PHYSICS-D CHEMISTRY-C ADV/MATHS-E
S0206/0598
F
12
III
G/STUDIES-F PHYSICS-D CHEMISTRY-C ADV/MATHS-E


EXAMINATION CENTRE RANKING
EXAMINATION CENTRE REGION
MOROGORO
TOTAL PASSED CANDIDATES
96
EXAMINATION CENTRE GPA
3.4677
CENTRE CATEGORY
CENTRE WITH 30 CANDIDATES OR MORE
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)
2/12
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE)
31/329
EXAMINATION CENTRE DIVISIONS PERFORMANCE
REGIST
ABSENT
SAT
WITHHELD
NO-CA
CLEAN
DIV I
DIV II
DIV III
DIV IV
FAILED
98
0
98
0
0
98
2
38
56
0
2
EXAMINATION CENTRE SUBJECTS PERFORMANCE
CODE
SUBJECT NAME
REG
SAT
NO-CA
W/HD
CLEAN
PASS
GPA
REG/RANK
NAT/RANK
112
HISTORY
24
24
0
0
24
24
3.6667
1/21
9/456
113
GEOGRAPHY
42
42
0
0
42
42
4.1667
3/21
35/464
122
ENGLISH LANGUAGE
24
24
0
0
24
24
4.2500
2/21
61/426
131
PHYSICS
56
56
0
0
56
49
5.2857
3/10
18/207
132
CHEMISTRY
74
74
0
0
74
74
3.8378
2/11
18/233
133
BIOLOGY
46
46
0
0
46
45
4.2826
3/11
40/216
142
ADVANCED MATHEMATICS
28
28
0
0
28
27
4.6071
3/11
20/258