TheHItDotCom

TheHItDotCom
we bring you news to your hand

Monday, February 17, 2014

Jason Statham Won't Star In 'Transporter 4,' But Will Return For 'The Mechanic 2'

It would seem that even Jason Statham has his limits. The action star doesn't always have the most discerning decision making process, and combined with a rather limited and defined range, it means his movies usually fit into a very specific box. But when it comes to the franchise that made his name, he's walking away from it slowly (as something surely explodes behind him).
The Hollywood Reporter reveals that Luc Besson's EuropaCorp has given the green light to "Transporter 4," but Statham won't be back. Instead, the film will kick off a potential trilogy detailing Frank Martin's origin story. Good lord. So sorry Chris Vance fans, that probably means the star of the "Transporter" TV series won't be leaping to his own movie. But if you need more Statham in your life, not to worry, as he's reprising his role in a sequel to a movie you probably forgot about.
Remember "The Mechanic"? The 2011 remake of the Charles Bronson movie made just a touch over $50 million worldwide, so we're not sure who exactly is clamoring for a followup. But perhaps it makes a good tax writeoff or something because after being shopped around in 2012, "The Mechanic 2" is getting some fresh momentum. German director Dennis Gansel is now on board to helm the picture, with Statham back as assassin Arthur Bishop. No word yet on when it might roll as it probably needs to make a bit more in pre-sales to justify its existence, but given that Statham is a brand that guarantees a certain return, it'll probably happen.

Pinda afafanua mswada wa Katiba

Waziri Mkuu Mizengo Pinda ametolea ufafanuzi kuhusu mswada wa sheria ya mabadiliko ya katiba mpya na kusema umakini na uaminifu unahitajika katika kujadili mswada huo ili pale mapungufu yatakapobainika yaondolewe kwa manufaa ya taifa.
Akijibu maswali ya papo kwa papo bungeni Dodoma, Waziri Mkuu Pinda amesema hatua ya wabunge kutoka nje ya bunge kwa madai ya kutoafiki baadhi ya vipengele vya mswada sio sahihi kwani swala lililopo ni kuujadili mswada husika na kurekebisha dosari zitakazobainika.
Kipindi cha maswali na majibu bungeni, hoja kubwa zimeulizwa na wabunge na kutolewa majibu na Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Kiongozi wa kambi ya rasmi ya upinzani Freeman Mbowe ameshauri kwamba kabla ya mjadala wa mswada wa mabadiliko ya katiba mpya kuwasilishwa bungeni ungepitiwa kwanza ili kutoa dosari, hoja ambayo imeungwa mkono na Waziri Mkuu.
Kwa upande wake mbunge wa viti maalum James Mbatia ameeelezea mapungufu yaliyomo katika Katiba ya Zanzibar na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo Waziri Mkuu Pinda amesema mapungufu yote hayo yataondolewa baada ya kupitishwa kwa katiba mpya.
Suala la uboreshaji wa Bandari ya Dar es Salaam nalo lilmeibuka ambapo Waziri Mkuu akatoa maelezo ikiwemo upanuzi wa bandari hiyo, reli kwa ajili ya kuchukua mizigo bandarini kwenda mikoani na nje ya nchi pamoja na kukiboresha kitengo cha makontena ili kupunguza mrundikano wa mizigo.
Ulipofika wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais mwenye dhamana ya mazingira Dokta Thereza Huviza akaelezea kilio cha wananchi wa eneo la Vijibweni, Kigamboni jijini Dar es Salaam kuhusu madhara yanayotokana na hewa inayotoka kwenye matenki ya kuhifadhia mafuta.
Aidha Dokta Huviza ameyataja mafanikio yanayotokana na utekelezaji wa Mpango wa Kupunguza Uzalishaji wa Hewa ya Ukaa - MKUHUMU kuwa ni pamoja na kulipwa fedha za kutunza misitu na ufadhili unaotolewa kwa wanafunzi wanaochukua kozi za uzamili na uzamivu katika hifadhi ya mazingira.
Mkutano wa Kumi na Mbili Kikao cha nane unaendelea mjini Dodoma ambapo leo wabunge wanajadili mswada wa mabadiliko ya katiba mpya.
Dominick Mokiwa, TBC Dodoma.
Last Updated ( Thursday, 05 September 2013 12:53 )