TheHItDotCom

TheHItDotCom
we bring you news to your hand

Thursday, April 18, 2013

aiseee NECTA iko kupandisha ma-grades... watu iko kuumia zaidi na zaidi... hawa ni wachache, lkn huwezi amini bado wanaonekana wazembhe kweeli..!!!

baada ya serikali kupitia baraza la mitihani kutangaza kupandisha madaraja ya ufaulu, hali imeonekana kuwa mbaya kwa baadhi ya WANA ...ambao wameonekana wakipiga msuli mmoja matata sana, hali hii inaleta vitisho kwani twaweza kuwapoteza baadhi yao km hali itaendelea hivi. vijana hao kwenye picha ndio waliofumaniwa waakikata shoka na vitabu... katika hali ya kushangaza wao bado wanaonekana wavivu,
SASA PATA PICHA HAO WENGINE WANASOMAJE.....????

1 comment: