TheHItDotCom

TheHItDotCom
we bring you news to your hand

Thursday, May 30, 2013

MZUMBE FORM FOUR NECTA RESULTS 2012... ni noumaaaa



NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

CSEE 2012 EXAMINATION RESULTS

S0140 MZUMBE SECONDARY SCHOOL

DIV-I = 50 DIV-II = 22 DIV-III = 17 DIV-IV = 13 FLD = 1

CNO
SEX
AGGT
DIV
DETAILED SUBJECTS
S0140/0001
M
10
I
CIV-B HIST-C GEO-C KISW-B ENGL-B PHY-A CHEM-B BIO-A B/MATH-A ADD MATH-A
S0140/0002
M
33
IV
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-D PHY-F CHEM-F BIO-F B/MATH-F
S0140/0003
M
20
II
CIV-D HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-B B/MATH-C
S0140/0004
M
16
I
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-B ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B ADD MATH-C
S0140/0005
M
21
II
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-C CHEM-C BIO-B B/MATH-C
S0140/0006
M
18
II
CIV-D HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-B CHEM-C BIO-B B/MATH-B
S0140/0007
M
23
III
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-D CHEM-D BIO-C B/MATH-F
S0140/0008
M
13
I
CIV-C HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-A ADD MATH-C
S0140/0009
M
11
I
CIV-B HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-C PHY-A CHEM-B BIO-A B/MATH-A ADD MATH-B
S0140/0010
M
22
III
CIV-D HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-C B/MATH-D ADD MATH-F
S0140/0011
M
34
FLD
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-D ENGL-F PHY-F CHEM-F BIO-F B/MATH-F
S0140/0012
M
19
II
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-C ADD MATH-X
S0140/0013
M
23
III
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-D B/MATH-B
S0140/0014
M
-
ABS
CIV-X HIST-X GEO-X KISW-X ENGL-X PHY-X CHEM-X BIO-X B/MATH-X
S0140/0015
M
14
I
CIV-C HIST-B GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-A B/MATH-A
S0140/0016
M
16
I
CIV-D HIST-C GEO-C KISW-B ENGL-C PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-A
S0140/0017
M
15
I
CIV-D HIST-B GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-A
S0140/0018
M
18
II
CIV-C HIST-B GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-D CHEM-B BIO-B B/MATH-D
S0140/0019
M
21
III
CIV-D HIST-C GEO-D KISW-B ENGL-C PHY-D CHEM-C BIO-B B/MATH-F
S0140/0020
M
31
IV
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-F PHY-D CHEM-D BIO-D B/MATH-F
S0140/0021
M
23
III
CIV-C HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-D CHEM-D BIO-C B/MATH-C
S0140/0022
M
25
III
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-D CHEM-C BIO-C B/MATH-C
S0140/0023
M
18
II
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-B ENGL-C PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-C
S0140/0024
M
30
IV
CIV-D HIST-F GEO-F KISW-C ENGL-D PHY-F CHEM-F BIO-D B/MATH-F
S0140/0025
M
13
I
CIV-C HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-A ADD MATH-B
S0140/0026
M
15
I
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-B ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B ADD MATH-B
S0140/0027
M
10
I
CIV-B HIST-B GEO-B KISW-A ENGL-B PHY-A CHEM-A BIO-B B/MATH-A ADD MATH-B
S0140/0028
M
17
I
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-B ENGL-B PHY-C CHEM-C BIO-B B/MATH-B
S0140/0029
M
24
III
CIV-C HIST-D GEO-C KISW-C ENGL-D PHY-F CHEM-D BIO-C B/MATH-F
S0140/0030
M
14
I
CIV-B HIST-C GEO-C KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B ADD MATH-C
S0140/0031
M
14
I
CIV-C HIST-B GEO-D KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B
S0140/0032
M
11
I
CIV-C HIST-C GEO-B KISW-B ENGL-C PHY-A CHEM-A BIO-A B/MATH-B ADD MATH-B
S0140/0033
M
13
I
CIV-B HIST-B GEO-C KISW-A ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B ADD MATH-C
S0140/0034
M
17
I
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-C B/MATH-A ADD MATH-C
S0140/0035
M
14
I
CIV-C HIST-B GEO-C KISW-C ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-A
S0140/0036
M
19
II
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-B ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-B B/MATH-C
S0140/0037
M
9
I
CIV-C HIST-B GEO-B KISW-A ENGL-B PHY-A CHEM-A BIO-A B/MATH-A
S0140/0038
M
27
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-D CHEM-D BIO-D B/MATH-C
S0140/0039
M
18
II
CIV-D HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-B ADD MATH-C
S0140/0040
M
23
III
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-C CHEM-C BIO-C B/MATH-B
S0140/0041
M
13
I
CIV-C HIST-C GEO-B KISW-C ENGL-B PHY-B CHEM-A BIO-A B/MATH-B
S0140/0042
M
13
I
CIV-C HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-A ADD MATH-B
S0140/0043
M
14
I
CIV-C HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B ADD MATH-B
S0140/0044
M
18
II
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-B BIO-A B/MATH-C
S0140/0045
M
20
II
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-B B/MATH-C
S0140/0046
M
19
II
CIV-C HIST-D GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-B B/MATH-B
S0140/0047
M
14
I
CIV-C HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B
S0140/0048
M
9
I
CIV-C HIST-B GEO-B KISW-B ENGL-B PHY-A CHEM-A BIO-A B/MATH-A ADD MATH-A
S0140/0049
M
11
I
CIV-C HIST-B GEO-B KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-A BIO-A B/MATH-A
S0140/0050
M
16
I
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-A ADD MATH-C
S0140/0051
M
15
I
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-B ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-A
S0140/0052
M
27
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-D CHEM-D BIO-C B/MATH-F
S0140/0053
M
28
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-D CHEM-F BIO-D B/MATH-F
S0140/0054
M
16
I
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-C
S0140/0055
M
27
IV
CIV-D HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-D CHEM-D BIO-C B/MATH-D
S0140/0056
M
23
III
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-C CHEM-C BIO-C B/MATH-B
S0140/0057
M
17
I
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-A
S0140/0058
M
17
I
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B
S0140/0059
M
13
I
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-A CHEM-A BIO-B B/MATH-A ADD MATH-B
S0140/0060
M
11
I
CIV-B HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-A BIO-A B/MATH-A
S0140/0061
M
25
III
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-D CHEM-D BIO-C B/MATH-D
S0140/0062
M
14
I
CIV-B HIST-B GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-A B/MATH-B
S0140/0063
M
33
IV
CIV-F HIST-F GEO-F KISW-F ENGL-D PHY-F CHEM-F BIO-F B/MATH-D
S0140/0064
M
16
I
CIV-C HIST-B GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B
S0140/0065
M
30
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-F PHY-F CHEM-F BIO-D B/MATH-F
S0140/0066
M
19
II
CIV-D HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-B PHY-C CHEM-C BIO-B B/MATH-C
S0140/0067
M
21
II
CIV-D HIST-D GEO-F KISW-D ENGL-D PHY-B CHEM-B BIO-D B/MATH-B ADD MATH-C
S0140/0068
M
15
I
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B
S0140/0069
M
25
III
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-C CHEM-C BIO-C B/MATH-D
S0140/0070
M
24
III
CIV-D HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-D CHEM-D BIO-C B/MATH-F
S0140/0071
M
19
II
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-C
S0140/0072
M
23
III
CIV-D HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-D CHEM-D BIO-B B/MATH-D
S0140/0073
M
14
I
CIV-C HIST-B GEO-B KISW-B ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B
S0140/0074
M
17
I
CIV-C HIST-B GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-C
S0140/0075
M
18
II
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-B ENGL-C PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-D
S0140/0076
M
20
II
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-B B/MATH-D
S0140/0077
M
20
II
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-B B/MATH-C
S0140/0078
M
21
II
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-C B/MATH-C
S0140/0079
M
26
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-D PHY-D CHEM-D BIO-D B/MATH-C
S0140/0080
M
17
I
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-B PHY-B CHEM-C BIO-B B/MATH-B ADD MATH-C
S0140/0081
M
27
IV
CIV-D HIST-F GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-D CHEM-D BIO-D B/MATH-C
S0140/0082
M
28
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-D CHEM-D BIO-D B/MATH-D
S0140/0083
M
16
I
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-D ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B
S0140/0084
M
18
II
CIV-C HIST-B GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-C
S0140/0085
M
13
I
CIV-C HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-A ADD MATH-B
S0140/0086
M
16
I
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-A ADD MATH-C
S0140/0087
M
15
I
CIV-C HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B
S0140/0088
M
12
I
CIV-C HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-A PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-A
S0140/0089
M
20
II
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-B PHY-C CHEM-C BIO-C B/MATH-D
S0140/0090
M
18
II
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-B CHEM-C BIO-B B/MATH-B
S0140/0091
M
24
III
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-D PHY-D CHEM-D BIO-D B/MATH-C
S0140/0092
M
15
I
CIV-C HIST-B GEO-D KISW-C ENGL-B PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B ADD MATH-D
S0140/0093
M
23
III
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-D ENGL-D PHY-C CHEM-C BIO-D B/MATH-C
S0140/0094
M
17
I
CIV-C HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B ADD MATH-X
S0140/0095
M
11
I
CIV-C HIST-B GEO-B KISW-C ENGL-B PHY-B CHEM-A BIO-A B/MATH-A
S0140/0096
M
17
I
CIV-C HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-C PHY-B CHEM-C BIO-B B/MATH-C
S0140/0097
M
23
III
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-D ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-C B/MATH-C
S0140/0098
M
26
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-D CHEM-D BIO-D B/MATH-F
S0140/0099
M
25
III
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-D CHEM-D BIO-C B/MATH-D
S0140/0100
M
12
I
CIV-B HIST-B GEO-C KISW-C ENGL-C PHY-A CHEM-B BIO-B B/MATH-A ADD MATH-B
S0140/0101
M
11
I
CIV-B HIST-B GEO-B KISW-B ENGL-B PHY-B CHEM-A BIO-A B/MATH-A ADD MATH-B
S0140/0102
M
16
I
CIV-C HIST-D GEO-C KISW-B ENGL-C PHY-B CHEM-B BIO-B B/MATH-B
S0140/0103
M
19
II
CIV-C HIST-C GEO-D KISW-C ENGL-C PHY-C CHEM-C BIO-B B/MATH-B
S0140/0104
M
12
I
CIV-C HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B PHY-A CHEM-A BIO-B B/MATH-B ADD MATH-B


EXAMINATION CENTRE RANKING
EXAMINATION CENTRE REGION
MOROGORO
TOTAL PASSED CANDIDATES
102
EXAMINATION CENTRE GPA
2.4113
CENTRE CATEGORY
CENTRE WITH 40 CANDIDATES OR MORE
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(REGIONWISE)
1/171
CENTRE POSITION IN ITS CATEGORY(NATIONWISE)
19/3396
EXAMINATION CENTRE DIVISIONS PERFORMANCE
REGIST
ABSENT
SAT
WITHHELD
NO-CA
CLEAN
DIV I
DIV II
DIV III
DIV IV
FAILED
104
1
103
0
0
103
50
22
17
13
1
EXAMINATION CENTRE SUBJECTS PERFORMANCE
CODE
SUBJECT NAME
REG
SAT
NO-CA
W/HD
CLEAN
PASS
GPA
REG/RANK
NAT/RANK
011
CIVICS
104
103
0
0
103
101
3.2524
3/197
48/4153
012
HISTORY
104
103
0
0
103
96
3.0291
4/197
35/4128
013
GEOGRAPHY
104
103
0
0
103
97
3.4466
5/197
104/4150
021
KISWAHILI
104
103
0
0
103
100
2.8641
3/197
26/4153
022
ENGLISH LANGUAGE
104
103
0
0
103
100
2.9612
4/197
71/4153
031
PHYSICS
104
103
0
0
103
97
2.7282
1/186
24/3699
032
CHEMISTRY
104
103
0
0
103
97
2.6214
4/191
42/3881
033
BIOLOGY
104
103
0
0
103
100
2.3786
3/197
27/4148
041
BASIC MATHEMATICS
104
103
0
0
103
91
2.5631
1/197
12/4153
042
ADDITIONAL MATHEMATICS
28
26
0
0
26
25
2.5000
1/2
5/29

Wednesday, May 29, 2013

WARAKA WA SHULE YA SEKONDARI MZUMBE KWA MKUU WA MKOA WA MOROGORO

-->
UTANGULIZI
Shule ya sekondari Mzumbe  ni moja kati ya shule maalumu nchini Tanzania. Ni shule ambayo inasfika kote Tanzania kwa taaluma na nidhamu yake safi. Kwa kuthibitisha hayo, viongozi wengi bora wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni matunda ya shule hii.
Kwa sifa hiyo,sisi wanafunzi wa shule ya sekondari Mzumbe tunajivunia kuwepo shuleni hapa na tunajitahidi kutimiza wajibu wetu ili kutunza na kuendeleza sifa ya shule hii kwa manufaa ya jamii na taifa kwa ujumla. Tukiwa na wajibu huo mzito, tunahitaji mazingira bora ya kujifunzia kama vile vifaa na nyenzo bora za kitaaluma, uongozi bora na ushirikiano chanya baina ya wanafunzi na walimu.
Hata hivyo, hali ya maisha ya hapa shuleni kwa sasa inazidi kuwa mbaya kiasi cha kuwa kipingamizi katika juhudi za kutimiza malengo yetu, katika kutimiza malengo yetu ya kulijenga taifa kama yalivyo matumaini ya watanzania wote.
Pamoja na hali hiyo tumejitahidi kukabiliana na matatizo mengi yaliyopo kwa njia mbalimbali hususani kufanya mazungumzo na kushauriana na uongozi wa shule kwa kuzingatia itifaki bila ya mafanikio yoyote.
Kutokana hali hiyo, sisi wanafunzi wa shule ya sekondari Mzumbe tumefikia uamuzi wa kuandika waraka unaoeleza matatizo yanayotukabili ambayo tumeyabainisha katika vipengele vifuatavyo:
1.      Mapato na matumizi ya shule
Kama wanafunzi tuna haki ya kushirikishwa katika taarifa za mapato na matumizi ya shule yetu. Shule ina vyanzo mbalimbali vya mapato kama vile ukumbi wa shule unaokodishwa kwa ajili ya sherehe mbalimbali, ushuru kutoka katika magenge na maduka (soko la Mzumbe sekondari), mashamba yanayokodishwa, ada ya kituo kwa wanafunzi wanaorudia mitihani pamoja  na kituo cha masomo ya jioni kilichopo ndani ya eneo la shule (Mzumbe evening class). Pamoja na hayo,  hatupewi taarifa juu ya pesa zinazotokana na miradi hiyo.
Kutokana na hali hiyo, tumebaini kuwa kutotolewa kwa taarifa ya mapato na matumizi kumesababisha ubadhilifu na ufisadi  unaoendelea hapa shuleni.
2.      Afya
Ni wazi kuwa, afya bora ni muhimu kawa mwanadamu yoyote ili aweze kutimiza wajibu wake. Lakini kwa sasa suala la afya limekuwa tatizo kubwa hapa shuleni. Mfano: utaratibu mbovu wa matibabbu, ambapo kuna mlolongo mrefu sana katika ufuatiliaji wa huduma za matibabu, ikiwemo kutotolewa kwa fedha za matibabu haliinayotulazimu kutumia fedha zetu za mifukoni ambazo hatahivyo huwa hatulipwi, licha ya kuwa tulikwisha lipia awali f edha za matibabu.
Kukosekana kwa dawa hata zile za muhimu katika zahanati ya shule limekuwa tatizo sugu.Hivyo, tumekuwa tukilazimika kununua dawa katika maduka ya madawa.
Kutokana na ubovu na uchakavu wa zahanati yetu, hali ya zahanati hiyo ni ya kusikitisha sana, kwani  inashindikana hata kutoa huduma ndogo ndogo za kiafya.
Pia, hali mbaya ya vyoo na mabafu yetu ni tishio kwa afya zetu. Mathalani, kijiji chenye wanafunzi takribani mia moja na sitini wanatumia tundu moja tu la choo na mabafu mawili. Hali hii inapelekea mlipuko wa magonjwa hatari kama vile U.T.I ( Urinary Tract Infection), kuhara na homa ya matumbo.
Licha ya malalamiko ya muda mrefu, uongozi washule umekuwa ukifumbia macho matatizo haya kwa kutoonesha jitihada za dhati kutokomeza mazingira haya hatarishi kwa afya zetu. Tumekuwa tukipokea ahadi zisizotekelezwa huku matatizo yakizidi kuongezeka ukubwa.
3.      Taaluma
Kwa hakika, taaluma ndio lengo kuu linalotuweka sisi wanafunzi shuleni. Tumekuwa tukivumilia tabia mbalimbali za walimu wetu ambazo zimekuwa kama mizaha juu ya hatima ya maisha yetu ya baadae. Tumekuwa tukifanya mitihani na baadae hucheleweshwa kurudishwa au wakati mwingine kutorudishwa kabisa. Na hata kama ikirudishwa, huwa hatufanyiwi masahihisho.
Pia, suala la uwajibikaji wa walimu limekuwa tatizo. Vipindi vya madarasani mara nyingi hupita bila kufundishwa. Ufundishaji wa walimu wengi umekuwa mbovu na wa kusuasua na hata wakati mwingine mitihani inayotungwa huwa haikidhi vigezo, na mingine hutolewa nje ya mfumo wa mtaala.
Tumekuwa tukivumilia tatizo la kukosa mahala tengwa kwa ajili ya mijadala ya kwenye vikundi (group discussions). Kila mara tulipojaribu kushauri, hata kushawishi tupewe mahali palipo tengwa kwa ajili ya mijadala hiyo tulijibiwa vibaya na hata kuzuiliwa kutumia baadhi ya sehemu za mazingira ya shule kwa shughuli yoyote ya kusoma, mfano: bwaroni.
Maktaba yetu ya shule haitunufaishi wanafunzi. Kumekuwa na utaratibu mbovu wa matumizi ya maktaba, na kwa muda mwingi maktaba yetu imekuwa ikibakia imefungwa tu. Uongozi wa shule umeshindwa kabisa kubuni namna nzuri ya kutumia maktba hiyo. Maktaba haifunguliwi kwa ajili ya matumizi ya wanafunzi nyakati za usiku badala yake hutumiwa tu na walimu pamoja na watu wengine wasio walimu wala wafanyakazi wa shule.
Licha ya hayo, maktaba yetu haina kabisa vitabu vya kisasa. Vitabu vilivyopo ni vya zamani ambavyo haviendani na mabadiliko ya sayansi na teknolojia ya sasa. Aidha, uongozi wa shule haujawahi kuonesha juhudi zozote, hata kujadili nasi namna ya kutatua matatizo haya.
Pamoja na hayo, uongozi wa shule umekuwa ukipuuza mapendekezo ya kufanyika kwa shughuli za kitaaluma shuleni. Pamoja na kuzungushwa sana na kudhalilishwa sanakwa viongozi wetu wa serikali ya wanafunzi pindi wanapotaka majibu juu ya masuala hayo ya kitaaluma, milolongo mikubwa ya ufuatiliaji huibuliwa ili kusudi ikwamishe juhudi zetu, kwa mfano; Juma la uzungumzaji kiingereza (English Week) kama chachu ya kuhamasisha taaluma ya kuzungumza na kutumia kiingereza, uongozi ulicchangia kwa kiasi kikubwa kukwamisha maandalizi yake ikiwemo kukataa kutoa fedha za gharama za siku ya kilele chake.
Tumekuwa tukisifika Tanzania kote juu suala taaluma, lakini kwa miaka ya hivi karibuni taaluma ya shule imekuwa ikishuka kwa kasi. Kwa kiasi kikubwa, matatizo haya ambayo yamelelewa hadi kukomaa na uongozi wa shule uliopo yamechangia kushusha taaluma ya shule.
4.       Uwajibikaji
Uwajibikaji wa walimu hapa shuleni umekuwa tatizo kiasi cha kurudisha nyuma maendeleo ya shule. Ambapo, mkuu wa shule hatekelezi maoni yanayotolewa na wanafunzi. Pia amekuwa akitoa lugha chafu na kejeli pindi anaposhauriwa au kuombwa taarifa za kiutendaji. Mfano: “nyinyi wahuni”; “nyinyi watoto wa kike”. Katika hili amediriki pia wakati mwingine kuwadhalilisha hata walimu wenzake mbele ya wanafunzi.
Mkuu wa shule amekuwa akitoa majibu mepesi na wakati mwingine yasiyo na uhakika pale anapoulizwa habari ya masuala nyeti, mfano alipoulizwa juu ya taarifa ya mapato ya shule na kubainisha vyanzo vya mapato hayo, ambapo alidai kuwa hana muongozo unaomruhusu kufanya hivyo, ingawa baadae alikiri kuwa alifanya makosa kwa kutotoa taarifa hizo, huku akibabaika kubainisha vyanzo vyote vya mapato ya shule kwani alitaja baadhi tu vyanzo na kuficha vingine.
Mwalimu wa nidhamu naye ameshindwa kutimiza majukumu yake, hasa pale anapovuka mipaka na miiko ya maadili ya kazi yake kwa kuwashambulia wwanafunzi kwa ngumi na mateke na kutoa adhabu kubwa zilizopitiliza (Corporal Punishment).
Aidha, mwalimu huyo amekuwa na tabia ya kutoa lugha chafu za matusi (mifano tunayo) pamoja na kutoa vitisho mbalimbali.
Kwa ujumla, baadhi ya walimu wamekuwa na tabia ya kutofika shuleni kwa wakati na huondoka shuleni kabla ya mwisho wa saa za kazi, hususani walimu wa zamu na hili huchangiwa na kile kinachosemekana kuwa mwalimu wa somo husika hufundisha shule nyingine nje ya kituo chake cha kazi.
5.      Ukarabati na miundombinu ya shule
Majengo na miundombinu karibu yote hapa shuleni ni chakavu sana kiasi cha kuhatarisha maisha yetu hapa shuleni. Kumekuwa na uchakavu uliofumbiwa macho ikiwemo:-
o   Uchakavu wa mabweni na madarasa
o   Vyoo na mabafu yote
o   Jikoni, ambapo hali yake inatisha kiasi cha kuhatarisha usalama wa afya
o   Maabara
o   Taa za mabweni na madarasa
o   Viwanja vya michezo; mfano, mpira wa kikapu na mpira wa wavu
o   Kukosekana kwa mipira ya michezo
o   Ukosefu wa vifaa vya usafi kama vile mafagio, mafyekeo, dawa za kusafishia vyoo, na madekio hali inayopelekea wanafunzi kuwa na hali ngumu wakati wa kufanya usafi
6.      Chakula
Chakula ni mahitaji makuu na ya msingi kwa mwanadamu yeyote. Ni dhahiri kwamba chakula tunachopatiwa hakikidhi viwango kiafya na hilo limedhibitishwa kuwa kutokana na ubadhirifu katika fungu linalotengwa kwa ajili ya chakula. Mfano mzuri ni kutopewa mbogamboga, kulishwa ugali mchungu na unaonuka na wakati mwingine usioiva. Wali unaotokana na mchele ulionyeshewa/uliolowa na hata kulishwa maharage yasiiokidhi kiwango na zaidi ya yote ubadhirifu huu hupelekea chakula kuwa kidogo na kisichotosha


7.      Ulinzi na usalama
Tumekuwa tukikabiliwa na matatizo ya kuibiwa mali zetu hii hutokana na kuwa na walinzi tulionao kuwa wachache hivyo hawawezi kulinda eneo lote la shule. Katika bweni moja (Karume 6) wanafunzi wanafunzi waliibiwa mabegi yao na watu wasiowanafunzi. Tumekuwa tukiibiwa mali zetu mara kwa mara bila uongozi wa shule kutoa maelezo au kuonesha jitihada zozote za kukomesha hali hii.
HITIMISHO:
Mwisho, sisi wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mzumbe kutokana na hali mbaya ya miundombinu kama vile vyoo, mabafu, mabweni na madarasa na hali mbaya ya chakula hatupo tayari kuendelea kuishi katika mazingira haya hatarishi. Mazingira mabovu ya kujisomea pamoja na uongozi mbaya na mbovu haviwezeshi maisha yetu kuwa ya amani shuleni. Hivyo basi, hatuutaki uongozi mzima wa shule ya Sekondari Mzumbe uliopo sasa. Tunamtaka mkuu wa shule pamoja na safu yake yote waondolewa na tupatiwe mkuu wa shule mwingine. Kwasasa hatupo tayari kuendelea kuwepo shuleni mpaka pale miundombinu itakapo karabatiwa na kufaa tena kuishi binadamu.



“TOMORROW’S FUTURE DEPENDS ON WHAT WE IMPLANT TODAY”




“DETERMINATION IS OUR MOTTO”
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Mzumbe
29.05.2013
















UCHAKAVU WA MUINDOMBINU KAMA HII NI MOJA YA SABABU ZILIZOLETEA MGOMO HUU

  


Uchakavu wa mabweni kama inavyoonekana hapa ni moja ya sababu zilizoletea maandamano hayo ya wanafunzi wa mzumbe sekondari.
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=95557

MABWENI YA SHULE HII NI YALEYALE YALIYOKUWA YAKITUMIKA TANGU ENZI ZA WAKOLONI.. JE SERIKALI IMEISAHAU SHULE HII MAALUM KABISAA??

Monday, May 27, 2013

Waliofeli kidato cha nne meno nje, ufaulu sasa waongezeka

 

Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Joyce Ndalichako

Idadi ya watahiniwa waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka jana imeongezeka kwa kati ya asilimia 20 na 23 baada ya Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), kufanya marekebisho alama za viwango vya ufaulu, Mwananchi limebaini.

Habari ambazo gazeti hili imezipata zinasema matokeo hayo ambayo yamewezesha kiwango cha ufaulu kupanda na kufikia asilimia kati ya 54 na 57, huenda yakatangazwa wiki hii pamoja na yale ya kidato cha sita ambayo pia yamechelewa kutangazwa.
Chanzo cha habari kutoka Necta kimesema matokeo hayo mapya yanaonyesha kuwa, ufaulu wa kuanzia daraja la kwanza hadi la nne umeongezeka kutoka asilimia 34.5 kwa matokeo yaliyotangazwa awali na huenda yakafikia asilimia 57. Hii inamaanisha kwamba watahiniwa wapatao 82,000 ambao awali walikuwa wamepata sifuri katika matokeo ya awali sasa wamepanda na kupata madaraja ya ufaulu katika matokeo mapya.
Kwa matokeo hayo, watahiniwa wa mwaka 2012 watakuwa wamefanya vizuri kuliko wa mwaka 2011, ambao watahiniwa 225,126 sawa na asilimia 53.37 ya 349,390 waliofanya mtihani huo walifaulu.
Msemaji wa Necta, John Nchimbi alisema upangaji wa matokeo hayo ulikuwa bado unaendelea. “Ninachojua kwa sasa ni kuwa mchakato unaendelea na matokeo yatatangazwa mapema tu ili watoto waweze kujiunga na shule mapema,” alisema Nchimbi.
Pia alisema usahihishaji wa mitihani ya kidato cha sita umekamilika.
Matokeo ya awali
Matokeo ya awali yaliyotangazwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa yalionyesha kuwa kati ya watahiniwa 367,756 waliofanya mtihani wa kidato cha nne mwaka jana, waliokuwa wamefaulu kwa daraja la kwanza mpaka la tatu walikuwa 126,847 sawa na asilimia 6.4. Waliopata daraja la nne walikuwa ni 103,327 sawa na asilimia 28.1.
Katika matokeo hayo, watahiniwa 240,909 sawa na asilimia 65.5 walipata sifuri, hesabu ambayo imebadilika katika matokeo mapya ambayo yanaonyesha kuwa sasa waliopata daraja hilo ni 158,100 ambayo ni asilimia 43.
Hata hivyo, habari kutoka Necta zinasema kuwa licha ya kuwezesha kuongezeka kwa waliofaulu, matumizi ya kanuni mpya ya kukokotoa matokeo hayo yalisababisha zaidi ya wanafunzi 2,500 kushuka ufaulu ikilinganishwa na awali.


MATOKEO KIDATO CHA SITA: SIFURI KIBAO ZAFUTWA KIMYAKIMYA

MPANGILIO wa alama mpya za kufaulu kwa wahitimu wa kidato cha sita waliohitimu mwaka jana, ambao matokeo ya mitihani yao yanaweza kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa, unadaiwa kuzua aibu na kama si uamuzi uliotajwa bungeni wa matumizi ya alama za ufaulu za zamani, matokeo hayo yangeibua aibu kama ilivyojitokeza kwa kidato cha nne, 2012.

Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya habari kutoka Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA) ambalo linaendelea kupanga matokeo hayo ya kidato cha sita kwa kuzingatia alama za zamani kama ambavyo taarifa ya awali ya Tume iliyoundwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ilivyosomwa bungeni hivi karibuni, hali ingekuwa mbaya zaidi katika ufaulu kwa wanafunzi wa kidato cha sita kiasi cha kuweza kutishia uhai wa vyuo vikuu nchini kukosa wanafunzi wa kutosha.

“Hali ilikuwa mbaya sana kama alama za kufaulu zingeachwa zitumike zile mpya na si za zamani. Vyuo vikuu nchini visingeweza kupata wanafunzi wa kutosha. Tatizo hapa si uwezo wa wanafunzi moja kwa moja katika kumudu mitihani bali ni kufanywa kwa mabadiliko ya alama bila kuwaandaa. Alama hizi zilipaswa kuanza kutumika na wanafunzi wapya, yaani kama wanaanza kidato cha kwanza wawe wanapewa mitihani ya kupimwa kwa kuzingatia alama mpya na waendelee nazo hadi mitihano yao ya mwisho.

“Na hivyo hivyo kwa wanafunzi wa kidato cha sita. Alama hizi mpya zinapaswa kutumika kwako kuanzia wakiwa kidato cha tano mara wanapoanza shule, kila mitihani wanayopewa isahihishwe na kupangiwa alama kwa kutumia hizi alama mpya,” kinaeleza chanzo chetu cha habari kutoka NECTA.

Kwa mujibu wa mabadiliko hayo ya alama, alama mpya zilizokuwa zimetumika awali ni daraja F kuanzia 34 hadi sifuri; badala ya alama hiyo F kuanzia 20 hadi 0; daraja D kwa kuzingatia alama mpya linapaswa kuanzia 35 tofauti na awali, yaani alama 21.

Taarifa zaidi zinabainisha ya kuwa, kati ya sababu za kuchelewa kutangazwa kwa matokeo ya kidato cha sita tofauti na muda uliotarajiwa yaani mwanzoni mwa Mei, ni pamoja na upangaji upya matokeo hayo, ikiwa ni tofauti na ilivyokuwa kwa kidato cha nne ambapo matokeo yalitangazwa na kisha kufutwa ili kuyapanga upya kwa kutumia alama za zamani.

Lakini alipoulizwa kuhusu masuala hayo ndani ya NECTA, Ofisa Habari wa Taasisi hiyo nyeti nchini, John Nchimbi alisema; “Kwa sasa niseme tu kwamba mchakato wa kuandaa matokeo ya kidato cha sita unaendelea, siwezi kusema lini hasa utakamilika lakini nina uhakika ni katika muda muafaka.”

Kuhusu matokeo ya kidato cha sita kucheleweshwa kutokana kupangwa upya ili kupunguza idadi ya waliofeli kutokana na matumizi ya alama mpya za kufaulu, Nchimbi anasema; “Unajua haya maagizo haya ya bungeni (kupanga matokeo kwa kuzingatia alama za zamani) yamekuja wakati mchakato wa kuandaa matokeo ulikwishaanza. Kwa hiyo baada ya maagizo ilibidi kufanya kazi hiyo tena kwa kufuata maagizo hayo.”

Hata hivyo, hakuweka bayana kama matokeo ya awali kabla ya maagizo ya Serikali yaliyotolewa bungeni kutumia alama za zamani yamewafanya wanafunzi wengi kufeli na badala yake akasema; “Hilo siwezi kulizungumzia kwa sababu mchakato wa matokeo hayo haukuwa umefika mwisho. Takwimu rasmi hazikuwa zimekamilishwa. Kwa hiyo si sahihi kusema rasmi walifeli.”

Lakini wakati hali ikiwa hivyo kwa upande wa matokeo yanayotarajiwa ya kidato cha sita, taarifa zaidi zinabainisha ya kuwa, baada agizo la serikali la kufuta na kurejewa upya kwa matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012, takriban wanafunzi 50,000 wamepata unafuu katika matokeo yao tofauti na awali.

Thursday, May 23, 2013

SCHOLARSHIPS FROM THE GOVERNMENT OF THE DEMOCRATIC PEOPLE’S REPUBLIC OF ALGERIA TENABLE IN ACADEMIC

Applications are invited from qualified Tanzanians to pursue Undergraduate degree programs in Algeria for the year 2013/2014. The medium of instruction is French.
 
1. FIELDS OF STUDY

  • Medicine                
  • Economic Science and Commercial Management (International Commerce)
  • Mathematics and Computer science
  • State Engineer in Telecommunications   
  • Science and Technology (Environmental Engineering)
  • Science and Technology (Architecture)
  • Science and Technology (Hydrocarbons and Chemistry)
  • Science and Technology ( Marine Engineering)                    
  • Science of Earth and Universe (Hydrogeology) 
  • Science of Nature and Life  (Food Industry)
  • Science of Nature and Life (Biology and physiology of Organism)
  • Science of Nature and Life (Ecology and Environment)
  • Matter Sciences (Chemistry)
  • Matter Sciences (Physics)  
  • French Language
2. QUALIFICATIONS
      Applicants must:
  • have completed and passed Advanced Certificate of Secondary Education and have obtained an average grade of ‘B’ in the relevant subjects.
  • not be admitted in Higher learning institutions
  • not be older than 25 years of age by September 2013
  • have good health
3. SELECTED CANDIDATES WILL;-
  • not be allowed to change and be admitted to local Universities.
  • have to purchase own ticket to Algeria and return ticket after completion of studies.
  • have to meet monthly Top Up Allowance
Needy students may apply for a loan from the Higher Education Students Loans Board to cover the above items.
For those students who have already applied to join our local institutions using CAS, they are free to apply for these scholarships.

4. MODE OF APPLICATION
  • All applicants must attach certified photocopies of Academic Certificates, Transcripts, and birth certificates
  • Applications from Zanzibar should be channeled through the Ministry of Education and Vocational Training, Zanzibar (Coordinating Office)
  • Applicants must indicate reliable contact telephone numbers.
  • All applications should be addressed to:
The Permanent Secretary
Ministry of Education and Vocational Training
P.O. Box 9121
DAR ES SALAAM

so as to reach him not later than 15th June 2013.

CUBA GOVERNMENT SCHOLARSHIP 2013/2014


Applications are invited from qualified Tanzanian for undergraduate degree programme tenable in the Republic of Cuba for the academic year 2013/2014.

FIELD OF STUDY:
Doctor of Medicine

QUALIFICATIONS:

Applicants must:
· have completed form six (Advanced Certificate of Secondary Education) at a date not exceeding two (2) years by August, 2013;
· have obtained principal passes not below “C” in Biology and Chemistry, Physics or Geography;
· not admitted in higher education institution; and
· be not more than 25 years old by August, 2013.

MODE OF APPLICATION:
Applicants must:
· submit certified copies of Advanced Certificate of Secondary Education; Examination or Result slip for those who completed in February, 2013;
· submit certified copies of Ordinary Certificate of Secondary Education (O – level);
· submit photocopy of birth certificate;
· indicate reliable contact telephone numbers and e-mails; and
·  Applications from Zanzibar should be channeled through the Higher Education Coordination Unit of Ministry of Education and Vocational Training – Zanzibar.

Selected Applicants will be obliged to:
·  Purchase their tickets to Cuba for studies and back home after completion of study. NEEDY students can seek loan from the Higher Education Students’ Loans Board.

All applications should be addressed to:
          The Permanent Secretary,
          Ministry of Education and Vocational Training,
          P. O. Box 9121,
          DAR ES SALAAM
  Deadline for receiving applications is 25th, May 2013.

UFAFANUZI KUHUSU KUPITIWA UPYA KWA MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE MWAKA 2012

Mnamo tarehe 03 Mei, 2013 Serikali kupitia Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Mheshimiwa Wiliam Lukuvi (Mb) ilitoa Kauli ya Serikali Bungeni Kuhusu Taarifa ya Awali ya Tume ya Taifa ya Kuchunguza Sababu za kushuka kwa ufaulu wa Mtihani wa Kidato cha Nne Mwaka 2012. Kauli ya Serikali ilielekeza kuwa matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne mwaka 2012 yafutwe na yaandaliwe upya kwa kutumia utaratibu uliotumika mwaka 2011 ili Wanafunzi hao wawe  katika  mazingira  yanayofanana na ya wenzao wa  miaka  iliyopita kwa kuwa mfumo uliotumika mwaka 2012 katika kupanga matokeo na madaraja ni tofauti na ule uliotumika mwaka 2011 na miaka iliyotangulia.
Kwa kuzingatia mapendekezo ya Tume na Maelekezo ya Baraza la Mawaziri, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kwa mamlaka aliyonayo chini ya Sheria ya Baraza la Mitihani Tanzania, kifungu cha 20, sura 107 ameliagiza Baraza la Mitihani la Taifa kupitia upya Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2012. Aidha, imeagizwa kwamba matokeo hayo yaandaliwe kwa kutumia utaratibu uliotumika mwaka 2011. Serikali haikuagiza kufanyika upya kwa mitihani hiyo na wala haikuagiza kusahihishwa upya.
Hivyo, Serikali inapenda kuwahakikishia wananchi kwamba hapatakuwa na zoezi la kurudia usahihishaji wa mtihani huo kwa sababu hakuna dosari zilizobainishwa kwenye usahihishaji wa mitihani hiyo. Alama za watahiniwa ambazo zimehakikiwa zipo tayari, kitakachofanyika ni kwa Baraza la Mitihani kutumia alama hizo kuchakata matokeo upya kwa kutumia viwango vya ufaulu vilivyotumika mwaka 2011. Utaratibu ambao umekuwa ukitumika tangu mwaka 1973 wakati Baraza lilipoanzishwa, ni wa kuweka viwango vya ufaulu kila mwaka kwa kuzingatia ufaulu wa somo husika na ufaulu katika mwaka uliotangulia.


Kutokana na maelezo hayo, ni dhahiri kuwa zoezi la kupitia upya matokeo ya Kidato cha Nne 2012 litachukua muda mfupi na matokeo yatatangazwa hivi karibuni.

Tuesday, May 21, 2013

naipenda sana hii.... mtoto wa kiume utaiogopaje????!!!



THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA (NECTA) is Government Institution which was established by the Parliamentary Act No. 21 of 1973. NECTA is responsible for the administration of all National Examinations in Tanzania.

OUR VISION

To be the Centre of Excellence in Quality Education Assessment and Certification.

OUR MISSION

To Provide Fair, Effecient and Effective Educational Assessment.

OUR MOTTO is to serve you better anywhere and everywhere !
Your satisfaction is our pleasure.



form six washaanza kutetemeka hao.......

" MATOKEO YA KIDATO CHA SITA".....SIFURI KIBAO ZAFUTWA KIMYA KIMYA


 MPANGILIO wa alama mpya za kufaulu kwa wahitimu wa kidato cha sita waliohitimu mwaka jana, ambao matokeo ya mitihani yao yanaweza kutangazwa wakati wowote kuanzia sasa, unadaiwa kuzua aibu na kama si uamuzi uliotajwa bungeni wa matumizi ya alama za ufaulu za zamani, matokeo hayo yangeibua aibu kama ilivyojitokeza kwa kidato cha nne, 2012.

 
Kwa mujibu wa vyanzo vyetu vya habari kutoka Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA) ambalo linaendelea kupanga matokeo hayo ya kidato cha sita kwa kuzingatia alama za zamani kama ambavyo taarifa ya awali ya Tume iliyoundwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ilivyosomwa bungeni hivi karibuni, hali ingekuwa mbaya zaidi katika ufaulu kwa wanafunzi wa kidato cha sita kiasi cha kuweza kutishia uhai wa vyuo vikuu nchini kukosa wanafunzi wa kutosha.


“Hali ilikuwa mbaya sana kama alama za kufaulu zingeachwa zitumike zile mpya na si za zamani. Vyuo vikuu nchini visingeweza kupata wanafunzi wa kutosha.


 "Tatizo hapa si uwezo wa wanafunzi moja kwa moja katika kumudu mitihani bali ni kufanywa kwa mabadiliko ya alama bila kuwaandaa.

" Alama hizi zilipaswa kuanza kutumika na wanafunzi wapya, yaani kama wanaanza kidato cha kwanza wawe wanapewa mitihani ya kupimwa kwa kuzingatia alama mpya na waendelee nazo hadi mitihano yao ya mwisho.

“Na hivyo hivyo kwa wanafunzi wa kidato cha sita. Alama hizi mpya zinapaswa kutumika kwako kuanzia wakiwa kidato cha tano mara wanapoanza shule, kila mitihani wanayopewa isahihishwe na kupangiwa alama kwa kutumia hizi alama mpya,” kinaeleza chanzo chetu cha habari kutoka NECTA.


Kwa mujibu wa mabadiliko hayo ya alama, alama mpya zilizokuwa zimetumika awali ni daraja F kuanzia 34 hadi sifuri; badala ya alama hiyo F kuanzia 20 hadi 0; daraja D kwa kuzingatia alama mpya linapaswa kuanzia 35 tofauti na awali, yaani alama 21.



Taarifa zaidi zinabainisha ya kuwa, kati ya sababu za kuchelewa kutangazwa kwa matokeo ya kidato cha sita tofauti na muda uliotarajiwa yaani mwanzoni mwa Mei, ni pamoja na upangaji upya matokeo hayo, ikiwa ni tofauti na ilivyokuwa kwa kidato cha nne ambapo matokeo yalitangazwa na kisha kufutwa ili kuyapanga upya kwa kutumia alama za zamani.


Lakini alipoulizwa kuhusu masuala hayo ndani ya NECTA, Ofisa Habari wa Taasisi hiyo nyeti nchini, John Nchimbi alisema; “Kwa sasa niseme tu kwamba mchakato wa kuandaa matokeo ya kidato cha sita unaendelea, siwezi kusema lini hasa utakamilika lakini nina uhakika ni katika muda muafaka.”

Kuhusu matokeo ya kidato cha sita kucheleweshwa kutokana kupangwa upya ili kupunguza idadi ya waliofeli kutokana na matumizi ya alama mpya za kufaulu, Nchimbi anasema; “Unajua haya maagizo haya ya bungeni (kupanga matokeo kwa kuzingatia alama za zamani) yamekuja wakati mchakato wa kuandaa matokeo ulikwishaanza. Kwa hiyo baada ya maagizo ilibidi kufanya kazi hiyo tena kwa kufuata maagizo hayo.”


Hata hivyo, hakuweka bayana kama matokeo ya awali kabla ya maagizo ya Serikali yaliyotolewa bungeni kutumia alama za zamani yamewafanya wanafunzi wengi kufeli na badala yake akasema; “Hilo siwezi kulizungumzia kwa sababu mchakato wa matokeo hayo haukuwa umefika mwisho. Takwimu rasmi hazikuwa zimekamilishwa. Kwa hiyo si sahihi kusema rasmi walifeli.”



Friday, May 17, 2013

WHAT MORE COULD WE WANT???

what more could you want..??
hii ni safu ndogo tu ya walimu tulio nao hapa mzumbe... aisee ni nouma....!! wakiwa kazini hakuna masihara kabisa, usiwaone wanatabasamu... wakiingia ndani ya 18 zako lazima utoke na div. 1 Perhaps dis is what keeps us on top daily.. a lot of thanks to em, thank you teachers,

CHARITY BEGINS AT HOME- IT BEGINS AT MZUMBE

a lot of thanks to M.Erick Shigongo for the great help aliyotupa wakati wa kampeni yetu ya charity begins at home.


Kaka mkuu wa Mzumbe, Mfaume Mussa [kati] akinadi moja wa biashara zinazouzwa na mfuko huo tulioupa jina la 'Charity Begins at home] Shigongo ambaye alionyesha kuguswa na hatua yetu kuanzisha mfuko huo wenye lengo la kulipiana ada kwa wale wanafunzi wenye hali ngumu kiuchumi,alinunua leso hiyo kwa shilingi milioni moja sambamba na kutupa shilingi milioni tano taslimu,

Mbali na hayo shigongo pia akiwa ndani ya ukumbi huo aliwasiliana na mbunge wa jimbo hilo la Mvomero  ilipo shule hiyo, Amos Makalla ambaye naye baada ya kusikia taarifa hizo kupitia kwa shigongo aligushwa na kuamua kuchangia mfuko huo shilingi milion moja taslimu.

.Shigongo hakuishia hapo aliendesha harambee kwa wazazi waliokuwemo ndani ya ukumbi huo ambao waliitikia wito huo kuwa kuchangia kiasi flani cha fedha   na kwamba  hadi shughuli hiyo inakamilika jumla ya shilingi milioni 7,218,900 zilikusanywa,awali mfuko huo ulikuwa na jumla ya shiringi laki 4 tu. hakika CHARITY BEGINS AT HOME.......


EXPLICITLY TALENTED WE ARE

look at us... what more could we need at mzumbe..??/

thats.. kama vipaji vya michezo tunavyooo... vingi saana..!!! what more..??????!!!1

what a view.......

yeeeess... thats it then.... look at some snapshots of our school
just some few parts of our school, its really amazing being here at mzumbe.. much love

tukiwa kazini hatutaki masihara wewe...

some of the students at mzumbe working on a project with their teachers... thats it, we use what we get in class to put it into practise..