TheHItDotCom

TheHItDotCom
we bring you news to your hand

Thursday, May 30, 2013

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEickYsK2WbGEafKTdFvPeRKhAOE5QCWsqn3ozSmGPpYkgNhA4fO7JcofgR8rPE-Xyvo0YtV2KeNfDXL-GodnTVnAysJLTPoPPywkcSbJj9ZLiGzwAehcpU9GUuH1q-c_0CSYY1gJO38dAGm/s640/_MG_7022.JPGhttps://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiBrs4Zpb4kFpJ1fEn9XHABu5Ku_-SADYTJ2R4uiQid-5ZQYc1Hpt6ChJE1Ajqx37BmGyQThSj7cJjIhylhhMmG6lr06JmXiwCh8YgLnp1MVzIyGs1aISwZ7nZZpSDtx5o-lzIpB3FquarZ/s640/IMG_7029.JPGWanafunzi wa shule ya  serikali ya Mzumbe Sekondari jana saa nane usiku wameandamana kutoka shueleni kwao wakieleke ofisi ya mkuu wa mkoa  wakishinikiza serikali ya mkoa wa Morogoro kuwatimua walimu wao watano akiwemo mkuu wa shule hiyo wakiwashutumu kwa vitendo mbali mbali ikiwemo vya ufisadi.Wanafunzi hao walizuiwa na askari eneo la Mindu  saa 12 alfaji ya  na kwamba kwa umoja wao madent hao waligoma kutoka barabnara mpka mkuu wa mkoa au katibu tawala wa Mkoa wa Morogoro kufika kwenye eneo hilo na kusikia kilio chao.






Walimu wengine waliotajwa kwenye ripoti hiyo ni pamoja na mwalimu wa malezi wa shule hiyo Edwin Matenga,mwalimu wa nidhamu Mohamed Soni na mwalimu wa taaluma Gasbert Rwegasira,kwa mujibu wa wanafunzi hao hao walimu hao waliowaita Top 5 wanawashutumu kwa mambo mbali mbali ikiwemo ya ufisadi na lugha za matusi kwa wanafunzi.

No comments:

Post a Comment