TheHItDotCom

TheHItDotCom
we bring you news to your hand

Saturday, December 20, 2014

JOKATE AINGIA MKATABA WA TZS BIL 8, NA WACHINA KUTENGENEZA NYWELE NA BIDHAA NYINGINE

MWANADADA ambaye ni mwanamitindo, mwanamuziki na mtangazaji, Jokate Mwegelo, jana amesaini makubaliano ya kushirikiana kibiashara  na Kampuni ya Rainbow Shell Craft ya China.Kampuni hizo mbili zitashirikiana katika kuzalisha  baadhi ya bidhaa kama nywele (wigi) sendozi .nakadhalika

Kidoti kushirikiana na kampuni ya china kutengeneza nywele na bidhaa nyingine

No comments:

Post a Comment